Natafuta chumba cha kupanga

TMAN8

Senior Member
Joined
May 25, 2012
Posts
165
Reaction score
41
Kiwe maeneo ya k'nyama, Sinza, Namanga, maduka mawili - Chang'ombe au Kinondoni. Ikiwa chumba na sebule itakua poa zaidi, na kikiwa kama master bedroom itakuwa safi zaidi. Nipeni msaada kwa 0774717033
 
Una taka nyumba ya kiasi gani? Je unataka kukaa na mwenye nyumba, au awe mbali na upeo wa macho yako?
 
bajeti yangu ni 50 - 70, ila inategemeana kama mazingira yanavutia zaidi si mbaya ikizidi kidogo zaidi ya hapo, sihitaji kukaa na mwenye nyumba.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…