Joseph msai Member Joined Aug 8, 2020 Posts 6 Reaction score 2 Jul 3, 2021 #1 Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21. Hivi karibuni nimekua nikisikia maumivu makali sana ya kiuno hasa nikiwa nimkaa. Au wakati wa kulala. Je, chanzo chake ni nini na je naweza pata tiba.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21. Hivi karibuni nimekua nikisikia maumivu makali sana ya kiuno hasa nikiwa nimkaa. Au wakati wa kulala. Je, chanzo chake ni nini na je naweza pata tiba.
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 43,037 Reaction score 34,742 Jul 3, 2021 #2 Joseph msai said: Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21... Hivi karibuni nimekua nikisikia maumivu makali sana ya kiuno hasa nikiwa nimkaa. Au wakati wa kulala. Je, chanzo chake ni nini na je naweza pata tiba. Click to expand... Kutwa nzima huwa unajishughulisha na kufanya kazi gani?au unakaa kutwa nzima pasipo na kufanya kazi yoyote ile? Unafanya kazi ngumu?
Joseph msai said: Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21... Hivi karibuni nimekua nikisikia maumivu makali sana ya kiuno hasa nikiwa nimkaa. Au wakati wa kulala. Je, chanzo chake ni nini na je naweza pata tiba. Click to expand... Kutwa nzima huwa unajishughulisha na kufanya kazi gani?au unakaa kutwa nzima pasipo na kufanya kazi yoyote ile? Unafanya kazi ngumu?
CCM Music JF-Expert Member Joined Dec 5, 2018 Posts 1,036 Reaction score 1,787 Jul 3, 2021 #3 Joseph msai said: Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21... Hivi karibuni nimekua nikisikia maumivu makali sana ya kiuno hasa nikiwa nimkaa. Au wakati wa kulala. Je, chanzo chake ni nini na je naweza pata tiba. Click to expand... Una UTI nenda kapime
Joseph msai said: Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21... Hivi karibuni nimekua nikisikia maumivu makali sana ya kiuno hasa nikiwa nimkaa. Au wakati wa kulala. Je, chanzo chake ni nini na je naweza pata tiba. Click to expand... Una UTI nenda kapime
Joseph msai Member Joined Aug 8, 2020 Posts 6 Reaction score 2 Jul 3, 2021 Thread starter #4 Kazi ngumu au za kuinama nimezifanya kipindi cha nyuma kidogo make nilikua nikifyatua tofali za brock kwa mda.
Kazi ngumu au za kuinama nimezifanya kipindi cha nyuma kidogo make nilikua nikifyatua tofali za brock kwa mda.
Mzimu wa Kolelo JF-Expert Member Joined Apr 16, 2013 Posts 2,950 Reaction score 8,919 Jul 4, 2021 #5 Dalili moja wapo ya kirusi cha delta COVID 19 wimbi la tatu ni kuumwa na KIUNO So km unaumwa kiuno na sio kawaida na hujawahi kuwa na matatizo ya kiuno au Umepima huna U.T.I basi habari ndio hiyo
Dalili moja wapo ya kirusi cha delta COVID 19 wimbi la tatu ni kuumwa na KIUNO So km unaumwa kiuno na sio kawaida na hujawahi kuwa na matatizo ya kiuno au Umepima huna U.T.I basi habari ndio hiyo
bigmind JF-Expert Member Joined Oct 28, 2015 Posts 12,457 Reaction score 12,705 Jul 4, 2021 #6 Nina uhakika asilimia 80% llitakuwa godoro.
S souljar JF-Expert Member Joined Feb 16, 2021 Posts 855 Reaction score 1,848 Jul 4, 2021 #7 Joseph msai said: Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21... Hivi karibuni nimekua nikisikia maumivu makali sana ya kiuno hasa nikiwa nimkaa. Au wakati wa kulala. Je, chanzo chake ni nini na je naweza pata tiba. Click to expand... Punguza punyeto kijana.
Joseph msai said: Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21... Hivi karibuni nimekua nikisikia maumivu makali sana ya kiuno hasa nikiwa nimkaa. Au wakati wa kulala. Je, chanzo chake ni nini na je naweza pata tiba. Click to expand... Punguza punyeto kijana.
jiwe angavu JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 21,702 Reaction score 41,865 Jul 4, 2021 #8 Joseph msai said: Kazi ngumu au za kuinama nimezifanya kipindi cha nyuma kidogo make nilikua nikifyatua tofali za brock kwa mda. Click to expand... Work and work related hazards..upo na ergonomics hazard exposure...jitahidi ufike hospital onana na occupational health therapist au physiotherapist. #MaendeleoHayanaChama Sent using Jamii Forums mobile app
Joseph msai said: Kazi ngumu au za kuinama nimezifanya kipindi cha nyuma kidogo make nilikua nikifyatua tofali za brock kwa mda. Click to expand... Work and work related hazards..upo na ergonomics hazard exposure...jitahidi ufike hospital onana na occupational health therapist au physiotherapist. #MaendeleoHayanaChama Sent using Jamii Forums mobile app
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,279 Reaction score 185,558 Jul 4, 2021 #9 Pole sana...
N Nikilewa mniache JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 19,324 Reaction score 52,034 Jul 4, 2021 #10 Delta imekuja na dalili zake kama Kuumwa kiuno ambacho huanzia kichwani kushuka na mgongo hadi kiunoni Homa Macho kuuma kwa mbali Kutohisi harufu Kukosa ladha ya chakula Baridi na mengine mengi. Tumia ule mchanganyiko wa nimricaf utapona au nenda hospital
Delta imekuja na dalili zake kama Kuumwa kiuno ambacho huanzia kichwani kushuka na mgongo hadi kiunoni Homa Macho kuuma kwa mbali Kutohisi harufu Kukosa ladha ya chakula Baridi na mengine mengi. Tumia ule mchanganyiko wa nimricaf utapona au nenda hospital
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 43,037 Reaction score 34,742 Jul 5, 2021 #11 Joseph msai said: Kazi ngumu au za kuinama nimezifanya kipindi cha nyuma kidogo make nilikua nikifyatua tofali za brock kwa mda. Click to expand... Hayo ndio madhara unayapata sasa ulikuwa unajituma na kufanya kazi kupita kiasi ndio umepatwa na hayo maradhi kwa sasa. Nenda Hospitali ukatibiwe usipo pona nitafute kwa wakati wako ili nipate kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole.
Joseph msai said: Kazi ngumu au za kuinama nimezifanya kipindi cha nyuma kidogo make nilikua nikifyatua tofali za brock kwa mda. Click to expand... Hayo ndio madhara unayapata sasa ulikuwa unajituma na kufanya kazi kupita kiasi ndio umepatwa na hayo maradhi kwa sasa. Nenda Hospitali ukatibiwe usipo pona nitafute kwa wakati wako ili nipate kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole.
NyaniMzee JF-Expert Member Joined Nov 24, 2010 Posts 396 Reaction score 727 Nov 25, 2021 #12 souljar said: Punguza punyeto kijana. Click to expand... halafu wewe ni JF Expert Member🙄 kwa ushauri huo.
souljar said: Punguza punyeto kijana. Click to expand... halafu wewe ni JF Expert Member🙄 kwa ushauri huo.