walokole huwezi ukafanya mapenzi na msichana mpaka mkaoane kwanza hata kama ni wachumba,ile kitendo tu cha kukuona umesimama na mwingine ambaye si wa dini yako wanaweza wakakutenga,so hapo ujanja ni kubadili dini,kuwa mlokole au umfuate dini ya huyo mwingine.Kwanini unasema hivyo? kwani uchumba maana yake nini? au unataka kutudanganya kuwa walokole wanaowana bila kuwepo uchumba!
Labda kama jamaa anachakachua tu alafu ndio anaita uchumba, mi ninavyojua mchumba ni mtu ambaye anajulikana hadi kwa wazazi iweje leo afichwe huko kituoni kuliko na kazi! angalia sana Mkuu hapo kuna kitu hatari sana kinaendelea na wewe unaweza kuwa spare tyre. Hawa dada zetu ni kama sisi tu! yamkini kampata mtu mwingine huko wanafanya kazi wote, maana mimi nadhani angeona ufahari kukufahamisha kwa rafiki na wafanyakazi wenzake kuwa wewe ndio mume mtarajiwa!
Wanawake wa siku hizi si kama wa zamani, nao siku hizi kuna wengine wanakupa mme mwenza husipo kuwa macho.
Walokole si malaika ni binaadamu wanaokwazwa na kukwazika kama wengine..tofauti yao na wewe ni udomokaya...ILA kuhusu mke..Hapo hakuna mke..huyo dada ana kisusio chake eneo hilo ambacho anataka asielewe km ana kakisusio kengine ka ziada pembeni... Mapenzi ya kweli hayapaswi kufichwa kwani nani asiyefahamu kuoa/kuolewa ni mchakato ambao si mgeni hata kwa lokole ama singasinga.usimwache bwana mi walokole nawafahamu,kweli wakimwona unaishi au kukaa naye bila ndo wanaweza kumtenga au kumfukuza kanisani,we mvumilie tu inawezekana amezungukwa sana na walokole kwenye hayo maeneo ndo mana anaogopa.
Tawilee!!!Kwanini unasema hivyo? kwani uchumba maana yake nini? au unataka kutudanganya kuwa walokole wanaowana bila kuwepo uchumba!
Labda kama jamaa anachakachua tu alafu ndio anaita uchumba, mi ninavyojua mchumba ni mtu ambaye anajulikana hadi kwa wazazi iweje leo afichwe huko kituoni kuliko na kazi! angalia sana Mkuu hapo kuna kitu hatari sana kinaendelea na wewe unaweza kuwa spare tyre. Hawa dada zetu ni kama sisi tu! yamkini kampata mtu mwingine huko wanafanya kazi wote, maana mimi nadhani angeona ufahari kukufahamisha kwa rafiki na wafanyakazi wenzake kuwa wewe ndio mume mtarajiwa!
Wanawake wa siku hizi si kama wa zamani, nao siku hizi kuna wengine wanakupa mme mwenza husipo kuwa macho.
Ya leo kali!!!
Pole sana na kugeuzwa mfungwa!Amua umvumilie au umpotezee...
Ulivyokuwa kwake alikuruhusu kula TUNDI?Mchumba wangu hataki niendee kumutembelea kituo chake cha kazi. Kadai kaokoka hivyo anaogopa watu, hususan watawa waliopo maeneo hayo.tumeshawahi kupractice sex for many days.kwa ktumia nguvu nilienda kwake, cha ajabu nilifungiwa mlango mpaka siku natoka, hakuniruhusu hata kidogo kuona jua.yeye akiondoka alikuwa anafunga mlango. Nisaidien wadau inaniuma sana. NASHINDWA KUELEWA KAMA AMEMPATA MWINGINE AU LAA_UCHUMBA UNA MDA WA MWAKA MMOJA NA NUSU. THIS IS TRUE I AM NOT JOKING LADIES AND GENTLEMEN
usimwache bwana mi walokole nawafahamu,kweli wakimwona unaishi au kukaa naye bila ndo wanaweza kumtenga au kumfukuza kanisani,we mvumilie tu inawezekana amezungukwa sana na walokole kwenye hayo maeneo ndo mana anaogopa.
Akutafute ili iweje wewe ni she or he, statement yako utata broNitafute wangu hayo sio mapenzi! Amos_rupia@yahoo.com
But, mlokole anapata je mke bila kuwa na mahusiano naye kwa muda na amwelewe mwenziye vizuri? nisaidieni ili niweze kumshauri mwenzangu apo