naitaji kiwanja au shamba lenye ekari 1 kwa tsh. 500,000/= maeneo ya ukuni bagamoyo au popote bagamoyo
pls kwa aliyenacho anijulishe kwani ni muhimu sana. aniPM Itakuwa vyema
Kuna sehem inaitwa kidimu, ipo km 8 kutoka barabara ya morogoro. Unaingilia kibamba, nina shamba pale nauza ekari moja milioni na laki mbili. Nicheki 0713322856 twende kazi
Fukayosi, barabara ya lami kuelekea Msata. Shamba lipo umbali wa mita 80 kutoka mwisho wa miliki ya barabara.
Kuna heka nne hivi zinauzwa zote kwa 6 M kila moja. kama uko sawa, onesha nia.
Fukayosi, barabara ya lami kuelekea Msata. Shamba lipo umbali wa mita 80 kutoka mwisho wa miliki ya barabara.
Kuna heka nne hivi zinauzwa zote kwa 6 M kila moja. kama uko sawa, onesha nia.