Habari wakuu,nahitaji kiwanja maeneo ya kigamboni hususani kisiwani,ukubwa kuanzia 20 kwa 20,bajeti yangu 2.5M - 3.0M,Mwenye nacho tuwasiliane,kwa namba 0621003284.
Dalali haitajiki.
Habari wakuu,nahitaji kiwanja maeneo ya kigamboni hususani kisiwani,ukubwa kuanzia 20 kwa 20,bajeti yangu 2.5M - 3.0M,Mwenye nacho tuwasiliane,kwa namba 0621003284.
Dalali haitajiki.
Utamuibia,hakuna kiwanja bei hiyo Maeneo hayo.Kuna mtu juzi tu katapeliwa hapo.Tena shemeji yangu.
Kigamboni sasa hivi kuna Ma Scorpion wa viwanja,na unapigwa huku unaona.