Nahitaji kiwanja Kigamboni (Kisiwani)

jembelamkono

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
2,733
Reaction score
2,016
Habari wakuu,nahitaji kiwanja maeneo ya kigamboni hususani kisiwani,ukubwa kuanzia 20 kwa 20,bajeti yangu 2.5M - 3.0M,Mwenye nacho tuwasiliane,kwa namba 0621003284.
Dalali haitajiki.
 
Kwa hiyo bei,unajaribu kumshika mamba meno ziwani.
 
Kiwanja kipo ila ni kichangani. Mbele ya Avic town city. Nichek 0718 290779
 
Habari wakuu,nahitaji kiwanja maeneo ya kigamboni hususani kisiwani,ukubwa kuanzia 20 kwa 20,bajeti yangu 2.5M - 3.0M,Mwenye nacho tuwasiliane,kwa namba 0621003284.
Dalali haitajiki.
Ondoa hizo nukta kwenye bei zako nikuuzie 20*20.
 
Njoo nikupe 30*30 mwembe mdogo kwa mils 6
 
kama unapajua geza ulole vipo vingi tu ila ni kuanzia mil 3ukiwa tayari nipm tuchonge
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…