Square meters 1200 zenye title deed huwezi kupata kibada mkuu. Njoo uchukue heka nzima kwa milioni 12 hapo hapo kibada. Utakachofanya, utachukua mtu wa GPS wizara ya ardhi uje nae apime kuangalia kama kuna mradi au linamilikiwa na mtu mwingine.
Eneo Lipo pazuri na kuna nyumba mpya nyingi karibu.