M Mateka Senior Member Joined May 2, 2011 Posts 131 Reaction score 41 Jan 21, 2014 #1 Wadau vip? Kuna mtu mwenye kiwanja 30x40 budget not greater than 5m. maeneo yasiwe mbali sana na mji. Nawasilisha.
Wadau vip? Kuna mtu mwenye kiwanja 30x40 budget not greater than 5m. maeneo yasiwe mbali sana na mji. Nawasilisha.
Mipangomingi JF-Expert Member Joined Mar 16, 2011 Posts 2,713 Reaction score 2,062 Jan 21, 2014 #2 30x40 unaamanisha mita? Haya mkuu safari njema ya ujenzi. Kutojaza saver yetu na mie wacha niunge tela kutafuta kiwanja kwa bajeti hiyo(5m) maeneo ya Buza, Temeke.
30x40 unaamanisha mita? Haya mkuu safari njema ya ujenzi. Kutojaza saver yetu na mie wacha niunge tela kutafuta kiwanja kwa bajeti hiyo(5m) maeneo ya Buza, Temeke.
Dadio JF-Expert Member Joined Mar 14, 2012 Posts 359 Reaction score 42 Jan 21, 2014 #3 tuwasiliane kipo bunju. karibu na mabwepande. ni rahis kuchukua umeme toka mabwepande. 0713401812
joss1973 JF-Expert Member Joined Mar 18, 2010 Posts 405 Reaction score 103 Jan 21, 2014 #4 Vipo viwanja vingi sana chanika kuanzia 2mil na kuendelea .umeme upo gari linafika mpaka kwenye kiwanja .contact 0713 95 92 90
Vipo viwanja vingi sana chanika kuanzia 2mil na kuendelea .umeme upo gari linafika mpaka kwenye kiwanja .contact 0713 95 92 90
Mpapatu JF-Expert Member Joined Jul 18, 2013 Posts 221 Reaction score 121 Jan 21, 2014 #5 Nicheki nina kiwanja Makabe.....
M Mateka Senior Member Joined May 2, 2011 Posts 131 Reaction score 41 Jan 21, 2014 Thread starter #6 Dadio said: tuwasiliane kipo bunju. karibu na mabwepande. ni rahis kuchukua umeme toka mabwepande. 0713401812 Click to expand... Hicho chako ni size 30X40 na kipo umbali gani kutoka barabarani?
Dadio said: tuwasiliane kipo bunju. karibu na mabwepande. ni rahis kuchukua umeme toka mabwepande. 0713401812 Click to expand... Hicho chako ni size 30X40 na kipo umbali gani kutoka barabarani?
M Mateka Senior Member Joined May 2, 2011 Posts 131 Reaction score 41 Jan 21, 2014 Thread starter #7 joss1973 said: Vipo viwanja vingi sana chanika kuanzia 2mil na kuendelea .umeme upo gari linafika mpaka kwenye kiwanja .contact 0713 95 92 90 Click to expand... Mkuu ni cha kwako? nitakuchek.
joss1973 said: Vipo viwanja vingi sana chanika kuanzia 2mil na kuendelea .umeme upo gari linafika mpaka kwenye kiwanja .contact 0713 95 92 90 Click to expand... Mkuu ni cha kwako? nitakuchek.
Varbo JF-Expert Member Joined Aug 14, 2012 Posts 1,124 Reaction score 895 Jan 21, 2014 #8 natafuta 40/40 morogoro mwenye nacho ani PM tufanye biashara
wehoodie JF-Expert Member Joined Nov 20, 2011 Posts 1,037 Reaction score 1,024 Jan 21, 2014 #9 Mimi pia nahitaji 30*40 boko, mbweni, bunju, chanika etc. Mwenye nacho tuambiane wadau
joss1973 JF-Expert Member Joined Mar 18, 2010 Posts 405 Reaction score 103 Jan 22, 2014 #10 Vipo viwanja vingi mkuu chanika.kama upo serous tuwasiliane au ni pm
Ndumbayeye JF-Expert Member Joined Jan 31, 2009 Posts 7,420 Reaction score 4,032 Jan 22, 2014 #11 0657936359
Tusker Bariiiidi JF-Expert Member Joined Jul 3, 2007 Posts 5,554 Reaction score 2,158 Jan 22, 2014 #12 Naulizia Tuangoma Temeke Kigamboni Road,kwenye Mradi Square metre.800 ni Sh.ngapi?
KIGOMA ONE Member Joined Aug 19, 2013 Posts 35 Reaction score 12 Jan 25, 2014 #13 wakuu....naomba kuwasilisha nauza kiwanja kipo mwanza buswelu B ukubwa 63*33....0756654525
miley Member Joined Aug 2, 2013 Posts 87 Reaction score 14 Jan 26, 2014 #14 Kiwanja kipo kihonda kwa chambo. Kimepimwa na kina hati, umeme upo, maji kipo karibu na barabara. Bei 7m nipigie 0715500248 0756171831 0784500248.
Kiwanja kipo kihonda kwa chambo. Kimepimwa na kina hati, umeme upo, maji kipo karibu na barabara. Bei 7m nipigie 0715500248 0756171831 0784500248.
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,915 Reaction score 30,027 Jan 26, 2014 #15 Mtumwa baniani said: Kipo Mbezi ya Kimara kina hati kwa milioni sita mmiliki ana matatizo. Nipigie: 0686555726 Click to expand... Ukubwa? ?
Mtumwa baniani said: Kipo Mbezi ya Kimara kina hati kwa milioni sita mmiliki ana matatizo. Nipigie: 0686555726 Click to expand... Ukubwa? ?
M Mateka Senior Member Joined May 2, 2011 Posts 131 Reaction score 41 Jul 2, 2014 Thread starter #16 Dili bado lipo!