Habari zenu wakuu, natafuta laptop brand yoyote yenye sifa zinazoendana na soko la biashara. Walau iwe na sifa hizi screen ya 14 mpaka 17inch, ram 2 au 4gb, HDD 500gb, DVD ROM, internal speaker.
Dau langu 320k ila naweza kupanda kulingana na ntakavyovutiwa na bidhaa.
Nipo Arusha.