Auto-type Mkuu, si wajua simu zetu hizi inabidi kila neno Mtu ulikague,
I MEANT SELF-DRIVE
Hi Wana JF wote..!
Heri ya Sikukuu ya Chrismas na Mwaka mupya wa 2014. Nataka kwenda kusalimia Wazaa chema, ndugu na jamaa nikipita route niliyoitaja hapo juu. Mungu akijaalia, nitasafiri on 30 Dec 2013, nataka kutumia gari dogo Toyota Spacio or Forester Subaru. Kwa wadau mliopita route hiyo au sehemu yake, plz naomba kujuzwa hali ya barabara ilivyo kwa sasa ili nitafakari na kufanya maamuzi yenye tija.
Mchango wenu ni muhimu sana kwangu and GOD BLESS YOU ALL..!
Kamarada nawasilisha.
Usiwe na wasiwasi pitia Njinjo Mkuu
Bila kupita nchinga atafurahia huko kwenu na samaki wakavu?Usimpoteze shemeji yetu, tunamsubiri kwa hamu aje kujua kwetu, atujue na sisi tumjue. Au unataka ajifunze historia ya miaka ya 1990s kurudi nyuma kwa vitendo, Lindi-DSM siku 3-7.
Usimpoteze shemeji yetu, tunamsubiri kwa hamu aje kujua kwetu, atujue na sisi tumjue. Au unataka ajifunze historia ya miaka ya 1990s kurudi nyuma kwa vitendo, Lindi-DSM siku 3-7.
Asante sana Shem Mkulu na Wadau wote.. kwa sasa nipo kwa wzaa chema katika kijiji cha Ruponda - Nachingwea nakula ugali wa muhogo kwa nyama ya Kanga na Nguruka. Hali ya barabara ni njema sana vile inapitika kwa gari za aina zote. Nitaleta picha na tathmini ya barabara mida mida.
HERI YA MWAKA MUPYA 2014 KWENU NYOTE...!