Moment of shame...

Hizi tabia za kubadilisha vichwa vya habari kukizi haja ya watu binafsi ni mbaya sana

Sijui kama kuna HODARI wa COPY/CUT and PASTE kama Shy - kwenye masuala ya IT! Na anafanya hivyo hili kukizi matakwa yake binafsi -

Anapoguswa MKAPA. Shy anahisi MKATE wa FAMILIA YAO unaweza kukosekana .. lol!

MWIZI NI MWIZI TU - Na mengine bado yaja! W.T.?
 
A L,
Rudia kuiangalia hiyo picha kwa makini zaidi, tulia na ichunguze utaona maandishi kwenye paji la uso yanasema FISADI & CO LIMITED.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…