Wewe jamaa kila leo unafungu thread mpya! Ukiambiwa weka bei, picha, mahali ulipo na size ya milango unakimbia. Wewe ni tapeli? Maana matapeli ndio hupendelea kupigiwa simu kwa sababu anakuwa hana details zingine zozote zaidi ya ujanja ujanja.
Wewe jamaa kila leo unafungu thread mpya! Ukiambiwa weka bei, picha, mahali ulipo na size ya milango unakimbia. Wewe ni tapeli? Maana matapeli ndio hupendelea kupigiwa simu kwa sababu anakuwa hana details zingine zozote zaidi ya ujanja ujanja.
Mrs.kurunzi.Bei single 33 kwa 210,bei n'180000 na double 45 kwa 210 bei n'280000.wapendwa mimi ni mgeni WA haya mambo,nmepata ushauri kuwa naweza tangaza biashara yngu zaidi online,sasa tunavo itana utapeli hata sijui yanatoka wapi,mimi mpiganaji na naheshimu ninachokifnya.nashkuru.
Mimi natengeneza milango ya mninga ila bei zinaanzia 450000, bei inaweza pungua kidogo kulingana na idadi ya milango unayoitaka. Picha za chini ni baadhi ya kazi zetu.kwa mawasiliano 0782370200 na 0754255734
Mparanyanga hiyo bei yako ni pamoja na frame au bila frame? Huku Arusha 350,000 - 400,000 pamoja na frame. Msiniulize wapi, Nenda Rafiki garage nyuma ya Lion Safaris pale Raskazo, kama unaelekea majengo