S sorony makoba Member Joined May 16, 2014 Posts 10 Reaction score 0 May 16, 2014 #1 Milango ya mninga inauzwa kwa bei poa,ipo single na double kwa mawasiliano piga simu.0783201037. Single:upana 33 kwa 210 urefu Double:upana 45 kwa 210 urefu. Bei:single 180000 . double 280000.
Milango ya mninga inauzwa kwa bei poa,ipo single na double kwa mawasiliano piga simu.0783201037. Single:upana 33 kwa 210 urefu Double:upana 45 kwa 210 urefu. Bei:single 180000 . double 280000.
S sorony makoba Member Joined May 16, 2014 Posts 10 Reaction score 0 May 17, 2014 Thread starter #2 Milango ya mninga inauzwa kwa bei poa,ipo single na double kwa mawasiliano piga simu.0783201037.
kasingo Member Joined Oct 17, 2010 Posts 67 Reaction score 21 May 17, 2014 #3 Weka japo bei yake ila hat mtu akipiga anatoa oda tu hii itasaidia kupunguza usumbufu usio wa lazima
J josiah2008 Member Joined May 22, 2010 Posts 51 Reaction score 23 May 17, 2014 #4 Weka bei pia vipimo vya hiyo milango.Picha Ni muhimu kwa ajili ya kuona design na finishing yake.
Kurunzi Platinum Member Joined Jul 31, 2009 Posts 10,175 Reaction score 11,572 May 17, 2014 #5 Weka bei si kila mtu anapenda kupiga simu
S sycamore Member Joined Mar 14, 2014 Posts 36 Reaction score 10 May 17, 2014 #6 900x2500mm bei gan,na 800x2500mm je
S sorony makoba Member Joined May 16, 2014 Posts 10 Reaction score 0 May 22, 2014 Thread starter #7 kasingo said: Weka japo bei yake ila hat mtu akipiga anatoa oda tu hii itasaidia kupunguza usumbufu usio wa lazima Click to expand... Nashkuru,nimeweka maana mimi mwenywe mgeni katika hii page,zaid kuweka picha.nashukuru sana.
kasingo said: Weka japo bei yake ila hat mtu akipiga anatoa oda tu hii itasaidia kupunguza usumbufu usio wa lazima Click to expand... Nashkuru,nimeweka maana mimi mwenywe mgeni katika hii page,zaid kuweka picha.nashukuru sana.