Jaman pwani uko ina ardhi ya tena hatari mkurunga kwa mbele uko kibit kila aina la zao linakubali yaan hata usipotumia mbolea ki2 kinastawi liwe tikit, ufuta, mananas ya kule ya bagamoyo yakasome, mihogo ndo balaaa kuna mto kambale mm1 kilo 3-6, bamia, yaan ww 2 ndugu zangu ni balaaaa naenda kununua eacr 100 uko soon