Ndo ukulima wa tz kwa hiyo hadi yanakuwa hukujua unauza wapi pole mkuu ,
USHAURI : nenda soko kuu la karibu mji unaoishi ulizia wafanyabiashara wa matunda ila bei zao ni za kulalia wananunua ,ila kama uko dar kodi gari peleka kariakoo uuze reja leja kwa wachuuuzi huyu mia ,50 ,40 mpaka gari iishe