RORYAKWETU Member Joined Nov 18, 2011 Posts 83 Reaction score 13 Oct 1, 2013 #1 Bei laki 4.5 ninazombili nauza moja niongezee mtaji ni hizi mpya nilinunua mwezi wa 6 nipo mwanza anayehitaji nipigie kwa 0788006200.
Bei laki 4.5 ninazombili nauza moja niongezee mtaji ni hizi mpya nilinunua mwezi wa 6 nipo mwanza anayehitaji nipigie kwa 0788006200.
K kailembo milton Member Joined Jan 13, 2013 Posts 50 Reaction score 7 Oct 1, 2013 #2 mkuu mi nahitaji ila naomba kwanza unifafanulie faida ya kutumia max malipo na hasara zake zinaweza tokea vipi.na nitatakiwa kuweka shilingi ngapi ili kuanza biashara.my contact 0768758877
mkuu mi nahitaji ila naomba kwanza unifafanulie faida ya kutumia max malipo na hasara zake zinaweza tokea vipi.na nitatakiwa kuweka shilingi ngapi ili kuanza biashara.my contact 0768758877
Mlaleo JF-Expert Member Joined Oct 11, 2011 Posts 16,351 Reaction score 13,140 Oct 1, 2013 #3 Mkuu kwani bei halisi ya hizo machine ni kiasi gani na je inaruhusiwa kuchange ownership?
RORYAKWETU Member Joined Nov 18, 2011 Posts 83 Reaction score 13 Oct 2, 2013 Thread starter #4 Laki 5 + kiasi kisichopungua 300000 kama mtaji. Kuhuau ownership c ni yako ukishanunua? Au cijakuelewa?
Laki 5 + kiasi kisichopungua 300000 kama mtaji. Kuhuau ownership c ni yako ukishanunua? Au cijakuelewa?