Max kissey
Member
- Jan 28, 2016
- 81
- 63
Nipe namba yako ya simu nikupe helaMkuu haujapata mteja tuu?
Ukipata mteja nishtue namie nauza yangu Macbook Pro same specs kwa bei ya 1.3 milioni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu haujapata mteja tuu?
Ukipata mteja nishtue namie nauza yangu Macbook Pro same specs kwa bei ya 1.3 milioni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu haujapata mteja tuu?
Ukipata mteja nishtue namie nauza yangu Macbook Pro same specs kwa bei ya 1.3 milioni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu haujapata mteja tuu?
Ukipata mteja nishtue namie nauza yangu Macbook Pro same specs kwa bei ya 1.3 milioni
Sent using Jamii Forums mobile app
Zimetofautiana Mwaka na lakini pia yako nimekuzidi SSD
Nipo na mac book pro 13', natafuta kioo chake, ilianguka kioo cha nje kimetengeneza cracks hatari, kioo cha ndani kipo salama. Kwa anayejua napataje hiyo bidhaa?
Thanks mkuuPeleka apple store yoyote then technical departmnt yake inaweza ikakuagizia nje.
Thanks mkuu
Nipo Arusha mkuu, sound and vision hawakuwa na hiyo outer glass lakini sikuulizia option ya wao kuniagizia nje itabidi Nirudi tena, nadhani kuna umuhimu wa watu tukajifunza online shopping.Pamoja..and kama uko dzm nenda m city apple store watakudirect and kama upo Arusha nenda sound and vision wanatechncal department apo..so far hivyo ndo nnavyojua.
Nipo Arusha mkuu, sound and vision hawakuwa na hiyo outer glass lakini sikuulizia option ya wao kuniagizia nje itabidi Nirudi tena, nadhani kuna umuhimu wa watu tukajifunza online shopping.
View attachment 860368
Naona yako ni ya mwaka 2013
Tayari specifications zimetofautiana ..
Alafu naomba kujua cycle counts ni ngapi
Ni pm tuongee biashara
Like why ddn you start as a good example ???NASHANGAAGA WATU WANAOSEMA NI PM IN PUBLIC, WHY DONT YOU START PM HIM/HER?