LG G3 inauzwa

T mobile boss hawana 3g ndo ujinga wake nipigie picha ikiwa inasoma network ya 3g mkuu
lakini mbona huwa nikiwa mkoa inapiga net fresh tena kwa spidi ya ajabu lakini sio 4g, maana huko napoenda huwa hamna hii 4g? Hii imekaaje Mkuu?
 
Ha ha ha sawa Mkuu djzm70, nataka nipate nauli ya kurudi kijijini.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…