Angalia utaibiwa wewee, unanikumbusha wale watu wa mkoani kwetu wanao ingia dukani na kuagiza wapewe suruali ya Tshs50,000 ili amfunike aliyejigamba kununua suruali ya Tshs35,000. Kwa taarifa yako hapa mjini hata ukitaka laptop ya Ths80,000 utapata.
Angalia utaibiwa wewee, unanikumbusha wale watu wa mkoani kwetu wanao ingia dukani na kuagiza wapewe suruali ya Tshs50,000 ili amfunike aliyejigamba kununua suruali ya Tshs35,000. Kwa taarifa yako hapa mjini hata ukitaka laptop ya Ths80,000 utapata.