D Doulos Member Joined Nov 10, 2009 Posts 15 Reaction score 6 Dec 18, 2014 #1 Serious buyers you can PM me for more information Attachments 1418920193588.jpg 47.9 KB · Views: 159
hekimatele JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 9,889 Reaction score 2,805 Dec 19, 2014 #2 Km ngapi toka ferry? Hilo eneo karibu na kiwanja ni surveyed?
D Doulos Member Joined Nov 10, 2009 Posts 15 Reaction score 6 Dec 19, 2014 Thread starter #3 Sina hakika na kilometa lakini ukienda na gari ni mwendo wa nusu saa kutoka ferry hadi kwenye kiwanja. Harakati za upimaji viwanja eneo hili zinaendelea na karibu na kiwanja kinachouzwa kumeanza kujengwa nyumba binafsi na za biashara.
Sina hakika na kilometa lakini ukienda na gari ni mwendo wa nusu saa kutoka ferry hadi kwenye kiwanja. Harakati za upimaji viwanja eneo hili zinaendelea na karibu na kiwanja kinachouzwa kumeanza kujengwa nyumba binafsi na za biashara.