Yaani hawa watu wanaojiita mara mitume, manabii, Sheikh Sharifu Majini huwa wanaoneshwa continously na Channel 10 TV
Sasa sikuhizi waanaanza kuoneshwa kuanzia asubuhi na wanaconsume muda mrefu kweli.
Binafsi, wengi wao ama wote huwa nawaona ni UCHWARA na MATAPELI.
Kwanini wanakimbilia Channel Ten?
Ni unafuu wa gharama za urushaji matangazo au?
Wabillah Tawfiq,