Sabi Sanda
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 409
- 31
kama hamna chapaa tulizeni ball wenye vijisenti vyao wachukue
Naomba kujua kama bei inaweza kupungua na mfumo wa malipo (say two installments)
Ni vizuri kuwa na kiwanja lakini kama kuna mpango wa kuanzishwa kiwanda sidhani kama kutafaa makazi ya watu
labda kwa ajili ya biashara
Salaam
Kwa wale ambao (au ndugu zao au rafiki) watahitaji kupata viwanja vilivyopimwa maeneo ya Kerege naomba tuwasiliane. Kwa sasa nimeanza utaratibu wa kubadilisha matumizi ya shamba langu la ekari 36.8 kuwa eneo maalumu la makazi ya watu. Eneo hili liko mkono wa kulia kama unatokea Dar kwenda Bagamoyo na ni umbali wa km 1.5 toka barabara kuu iendayo Bagamoyo. Kerege iko umbali wa km 23 toka Tegeta au km 10 toka Bunju ukielekea Bagamoyo. Viwanja vitakuwa na ukubwa wa angalau mita za mraba 900 kwa kila kiwanja na bei ya mita moja ya mraba itakuwa ni shilingi 8,500. Taratibu zote zinategemewa kukamilika kabla ya mwisho wa mwezi Juni mwaka huu. Ndani ya Kijiji cha Kerege Kamal Group wanajenga the largest Industrial complex in Tanzania. Kwa anayehitaji (mtu binafsi, kikundi, Saccos, kampuni au taasisi) tuwasiliane kwa simu namba 0659 281964.
je? Bei hiyo ni pamoja na gharama ya hati ya umilikishwaji wa kiwanja?
Ni heri umezungumza mapema mpaka kufikia june majibu yatakuwa tayari kichwani mwangu, maana hili suala inabidi kulifanyia kazi kidogo. Maana hapo unazungumzia karibu Kilomita miamoja kutoka expected home mpaka Posta na kurudi.
hiyo bei tu! kiwanja kimoja + gharama za usafiri kila siku kwa mwezi tu nanunua nyumba mbagala hata kama nyumba mbele jalala
Waliohamia karibu na hayo maeneo wanavamia kila siku wanaibiwa na wake zao kubakwa!.Wewe unatuhakikishiaje usalama wetu?
Pia hu umeme wa mgao sizani kama kuna any investor these 4 years atakuja kuwekeza kwenye hiyo EPZ ya karibu na hizi sites!.Wazungu(wawekezaji)wanasikiliza sana kauli za wausika popote pale(MOM wa Umeme)Ngereja asatamka oficial kuwa mgao wa umeme utatokomea ifikapo 2014 kama sikosei!.So no banker nor any investor will come to invest before 2014.kwani apa tuna CNN,BBC,Aljeseera.So tupe huakika Ndugu