D davycom Senior Member Joined Mar 18, 2009 Posts 101 Reaction score 27 Jan 12, 2018 #1 Tunauza uyoga fresh hapa dar es salaam. Bei: Kilo 1 ni Tsh 8000 Delivery fee: Tsh 2000 Kwa anayehitaji uyoga fresh awasiliane nasi kupitia +255 656 214 678, 0786517320.
Tunauza uyoga fresh hapa dar es salaam. Bei: Kilo 1 ni Tsh 8000 Delivery fee: Tsh 2000 Kwa anayehitaji uyoga fresh awasiliane nasi kupitia +255 656 214 678, 0786517320.
Wonderful JF-Expert Member Joined Apr 8, 2015 Posts 7,347 Reaction score 5,998 Jan 12, 2018 #2 Naupenda sana uyoga but nauogopa,maana kuna mwingine una sumu
D davycom Senior Member Joined Mar 18, 2009 Posts 101 Reaction score 27 Jan 12, 2018 Thread starter #3 Wonderful said: Naupenda sana uyoga but nauogopa,maana kuna mwingine una sumu Click to expand... Inategemea ni aina ipi ya uyoga, kuna uyoga inayoliwa (edible mushrooms) ambayo huoteshwa kwenye mashamba kama inavyoonekana kwenye hizo picha. Uyoga unao uogopa ni ule unaopatikana porini ambao upo tofauti kabisa.
Wonderful said: Naupenda sana uyoga but nauogopa,maana kuna mwingine una sumu Click to expand... Inategemea ni aina ipi ya uyoga, kuna uyoga inayoliwa (edible mushrooms) ambayo huoteshwa kwenye mashamba kama inavyoonekana kwenye hizo picha. Uyoga unao uogopa ni ule unaopatikana porini ambao upo tofauti kabisa.
Nebart Chalaji Senior Member Joined Feb 15, 2013 Posts 145 Reaction score 192 Jan 13, 2018 #4 uyoga hapo juu unaitwa mamama(oyster),ni mzuri sana kwa kula.