Nikweli mazingira ya kujinyonga huyu jasiri ni ya kutatanisha sana maana clues kubwa za mtu kujinyonga hazionekani bali kanyongwa na kutundikwa.inatakuwa independent and privtae postmoterm ifanyike bila kificho na kusimawia na tume huru.
tanzania ukiwa mkweli na mfichua maovu maisha yako yapo hatarini
tanzania ukiwa mkweli na mfichua maovu maisha yako yapo hatarini