Lady Unbreakable Member Joined Feb 20, 2013 Posts 33 Reaction score 5 Oct 18, 2013 #1 bei ni milioni 14, umbali na barabara ni dakika 5 tu. maji yako karibu,umeme pia upo karibu.
Kilimo JF-Expert Member Joined Sep 27, 2011 Posts 777 Reaction score 194 Oct 18, 2013 #2 plz weka taarifa zote kama, ukubwa wa kiwanja ni mita za mraba ngapi? Kiwanja kina hati? Au kiwanja kina ofa? Kwann unakiuza? Au kipo kwenye laini ya umeme mkubwa? Au kipo kwenye laini ya TAZAMA yaani pipeline -bomba la mafuta linaloenda zambia?
plz weka taarifa zote kama, ukubwa wa kiwanja ni mita za mraba ngapi? Kiwanja kina hati? Au kiwanja kina ofa? Kwann unakiuza? Au kipo kwenye laini ya umeme mkubwa? Au kipo kwenye laini ya TAZAMA yaani pipeline -bomba la mafuta linaloenda zambia?