Kiwanja kinauzwa Mbezi Makabe

frank255

Member
Joined
Jul 17, 2016
Posts
5
Reaction score
0
Kiwanja kipo eneo zuri na karibu na barabara Mbezi Makabe, jijini Dar es Salaam. Kina ukubwa wa 20*20 mita, bei milioni 20 tu, maelewano yapo. PM kwa biashara.
 
Kiwanja kipo eneo zuri na karibu na barabara Mbezi Makabe, jijini Dar es Salaam. Kina ukubwa wa 20*20 mita, bei milioni 20 tu, maelewano yapo. PM kwa biashara.

Yaani 20*20 unauza 20ml,hiyo 20mil. ni ya Zimbabwe au Tanzania?
 
Mkuu nina kiwanja hapo Mbezi kwa Msumi,sehemu ni Tambarare kabisa,ukubwa ni 20 kwa 20 na ninaanzia kama milioni 5 tu,na mazungumzo kidogo yanaweza zingatiwa,ukiwa tayari nicheki 0655 44 64 60
hiyo 20×20 ni mita au miguu?
 
Kiwanja kipo eneo zuri na karibu na barabara Mbezi Makabe, jijini Dar es Salaam. Kina ukubwa wa 20*20 mita, bei milioni 20 tu, maelewano yapo. PM kwa biashara.

Hizo bei zipo kweli kwa sasa?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…