E E.A Agency New Member Joined Sep 1, 2014 Posts 3 Reaction score 0 Sep 2, 2014 #1 Kiwanja chenye ukubwa wa ekeri 4 (squire meter 16690) kinauzwa kiko kunduchi mtongani kinapakana na bahari ya hindi. bei ni dola 1.8 mil($1.8 MIL) Kimepimwa na kina hati na kiko ndani ya uzio(fence) kwa mawasiliano zaidi piga 0714358610
Kiwanja chenye ukubwa wa ekeri 4 (squire meter 16690) kinauzwa kiko kunduchi mtongani kinapakana na bahari ya hindi. bei ni dola 1.8 mil($1.8 MIL) Kimepimwa na kina hati na kiko ndani ya uzio(fence) kwa mawasiliano zaidi piga 0714358610
dip pub JF-Expert Member Joined Jul 16, 2014 Posts 389 Reaction score 74 Sep 2, 2014 #2 tembelea hapa
K Kipre cheche Member Joined Aug 26, 2014 Posts 27 Reaction score 1 Sep 3, 2014 #3 tuko bongo chalii tupe bei za kikwetu kwetu
Asante JF-Expert Member Joined Dec 18, 2009 Posts 2,085 Reaction score 1,082 Sep 3, 2014 #4 Vipi matope eneo hilo?
N nanjehedi Member Joined Aug 1, 2014 Posts 35 Reaction score 18 Oct 30, 2016 #5 Kipre cheche said: tuko bongo chalii tupe bei za kikwetu kwetu Click to expand... Mkuu kama unaweza kuja Mbezi kwa Msumi kuna kiwanja hapa cha kiaina nacho chaanzia mil 5 tu za kitanzania,ni 20 kwa 20 mkuu,ukihitaji ni pm
Kipre cheche said: tuko bongo chalii tupe bei za kikwetu kwetu Click to expand... Mkuu kama unaweza kuja Mbezi kwa Msumi kuna kiwanja hapa cha kiaina nacho chaanzia mil 5 tu za kitanzania,ni 20 kwa 20 mkuu,ukihitaji ni pm