Kiwanja kinauzwa Dar

2030

Member
Joined
Dec 26, 2016
Posts
28
Reaction score
3
Halooo wana JF,nauza kiwanja kipo Dar,Kina ukubwa wa heka 1,bei na mengineyo nione kwa namba hii:0764732326
 
Dar ndo wapi? Eleza kiwanja kipo eneo gani la Dar
 
Kiwanja kipo Masaki kimepakana na nyumba ya Mh Waziri wa Makinikia bei ni sawa na bureee.
 
watu wa mikoani kwa ushamba, kwa hiyo uliona ukitaja tu dar bas utaonekana mjanjaaa
 
Halooo wana JF,nauza kiwanja kipo Dar,Kina ukubwa wa heka 1,bei na mengineyo nione kwa namba hii:0764732326
Vip mkuu 1.4 bn unachukua? kama upo tayari ni pm.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…