2 2030 Member Joined Dec 26, 2016 Posts 28 Reaction score 3 Oct 19, 2017 #1 Halooo wana JF,nauza kiwanja kipo Dar,Kina ukubwa wa heka 1,bei na mengineyo nione kwa namba hii:0764732326
Halooo wana JF,nauza kiwanja kipo Dar,Kina ukubwa wa heka 1,bei na mengineyo nione kwa namba hii:0764732326
kifinga JF-Expert Member Joined Dec 5, 2011 Posts 5,249 Reaction score 9,577 Oct 19, 2017 #2 dar kubwa je kipo sehemu gani
Mandison Senior Member Joined Mar 10, 2017 Posts 191 Reaction score 116 Oct 19, 2017 #3 Dar ndo wapi? Eleza kiwanja kipo eneo gani la Dar
LUCKY BANANA JF-Expert Member Joined Jun 28, 2016 Posts 461 Reaction score 226 Oct 19, 2017 #4 ENEO GANI
Frank Wanjiru JF-Expert Member Joined Apr 12, 2012 Posts 24,706 Reaction score 44,087 Oct 19, 2017 #5 Kiwanja kipo Masaki kimepakana na nyumba ya Mh Waziri wa Makinikia bei ni sawa na bureee.
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,104 Reaction score 165,321 Oct 19, 2017 #6 Frank Wanjiru said: Kiwanja kipo Masaki kimepakana na nyumba ya Mh Waziri wa Makinikia bei ni sawa na bureee. Click to expand... Kama ni bure nakiomba
Frank Wanjiru said: Kiwanja kipo Masaki kimepakana na nyumba ya Mh Waziri wa Makinikia bei ni sawa na bureee. Click to expand... Kama ni bure nakiomba
Abuu Kauthar JF-Expert Member Joined Jul 10, 2011 Posts 4,489 Reaction score 6,883 Oct 19, 2017 #7 watu wa mikoani kwa ushamba, kwa hiyo uliona ukitaja tu dar bas utaonekana mjanjaaa
Mdhamini JF-Expert Member Joined Nov 25, 2016 Posts 214 Reaction score 172 Oct 19, 2017 #8 2030 said: Halooo wana JF,nauza kiwanja kipo Dar,Kina ukubwa wa heka 1,bei na mengineyo nione kwa namba hii:0764732326 Click to expand... Vip mkuu 1.4 bn unachukua? kama upo tayari ni pm.
2030 said: Halooo wana JF,nauza kiwanja kipo Dar,Kina ukubwa wa heka 1,bei na mengineyo nione kwa namba hii:0764732326 Click to expand... Vip mkuu 1.4 bn unachukua? kama upo tayari ni pm.