Kiwanja kinauzwa Bunju B

Rlukaku

Senior Member
Joined
Dec 11, 2013
Posts
100
Reaction score
20
Salama wakuu;

Ninauza kiwanja/shamba. Ukubwa ni SQM 400 Eneo kilipo ni Bunju B, Bei ni 4M. Kiwanja kipo sehemu nzuri, maji yapo, umeme nao tayari umeshafika eneo husika. Kwa anayehitaji tuwasiliane kupitia 0769942927, tuma sms,WhatsApp au piga.

Karibuni.
 
Bomoa bomoa haitafika hapo?
kimepimwa?kina hati?
njia za mto?open space?
 
bunju b kubwa ndugu, anzia kihonzile, mnarani, kwa mama mnuo , kwa baharia, ghorofa la mwarabu.
 
bunju b kubwa ndugu, anzia kihonzile, mnarani, kwa mama mnuo , kwa baharia, ghorofa la mwarabu.
We jamaa, kweli unaijua Bunju B siku si nyingi utanifikia mimi kwa jinsi ninavyoijua Dar na vichochoro vyake karibia vyote.
 
bunju b kubwa ndugu, anzia kihonzile, mnarani, kwa mama mnuo , kwa baharia, ghorofa la mwarabu.

Du ! Shule ya secondary ya Baobab unaijua ? Unaingilia pale pale njia panda ya Vikawe.
 
Utapeli mtupu wadau kuweni makini kiwanja cha 4m hakipo bunju
 
We jamaa, kweli unaijua Bunju B siku si nyingi utanifikia mimi kwa jinsi ninavyoijua Dar na vichochoro vyake karibia vyote.

ila usisahau kuwa "mjanja wa mzizima leo kawa mshamba dar es salaam".
 
Serekali imekataa mtu au taasisi kuuza au kununua kiwanja mpaka itoe bei elekezi
 
Serekali imekataa mtu au taasisi kuuza au kununua kiwanja mpaka itoe bei elekezi

We kweli kiazi, kama hujaelewa uliza usikurupuke. Serikali imesema itatoa bei elekezi kwa viwanja vitakavyopimwa na Halmashauri au mawakala wa kupima viwanja sio viwanja vya mtu binafsi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…