Kiwanja keko madawa

stepper

Senior Member
Joined
Aug 7, 2013
Posts
112
Reaction score
56
Bei ni 5m , kina hati unaweza jenga vyumba kumi

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Tafadhali naomba namba zako za simu ili tuweze kuwasiliana nione mahali tufanye biashara.
Au nipigie ktk namba hizi nilo serious 0715 800888 and 0756 600311.
 
Keko(MSD) ya Dar es Salaam au kuna nyingine?

5mil???:shocked:...hebu taja kwanza ukubwa wa eneo
 
Keko(MSD) ya Dar es Salaam au kuna nyingine?

5mil???:shocked:...hebu taja kwanza ukubwa wa eneo

Kaka kumbe tunapenda bei zinaporushwa juu, maana sku hizi hata apartments za Dar ni ghali kuliko za Dubai?!!!! Kama unafahamu taratibu zote za kufuata ili kukwepa kutapeliwa sioni haja ya kuogopa kwa msingi wa bei mkuu! Mi nimeona bei ni nzuri mkuu, pamoja na kwamba hajatoa details za kutosha za kiwanja, labda kama ni kikubwa na kiko pazuri mno!
 

Hahahah kaka mkubwa siku nyingine uwe makini sana...utakuja kuuziwa 'Open Space' au mali ya urithi.

Keko ni moja ya maeneo ya Dar es Salaam ya zamani, sasa kwa bei hiyo lazima kuwe na doubts
 
Hahahah kaka mkubwa siku nyingine uwe makini sana...utakuja kuuziwa 'Open Space' au mali ya urithi.

Keko ni moja ya maeneo ya Dar es Salaam ya zamani, sasa kwa bei hiyo lazima kuwe na doubts

Ni kweli mkuu, lakini bei haiwezi kuwa kipimo cha uhalali wa eneo, wengi wamelia kwa bei za kutisha! Msingi ni kuwa makini Mkuu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…