Kama bado unaiwitaji wakiwanja nina viwanja viwili, kimoja kipo kinyerezi kichangani ukubwa ni 70×33 ni tambalale kabisa. Kingine kipo bunju mkabala kabisa na kiwanja cha simba sc. Ukiwa kiwanjani hapo huna aja hata ya kusogea uwanjani ili uwatizame wachezaji, ni kuweka kiti chako nje tu na kupata burudan mubashara umakini muhimu mipira waga inafika adi kiwanjan. Ukubwa ni 20×30
Sent using
Jamii Forums mobile app