Kiwanja chenye hati kinahitajika

babuuestates

Member
Joined
Mar 7, 2020
Posts
5
Reaction score
0
Kiwanja chenye hati kinahitajika ,ukubwa uwe square metre 1000 au zaidi.

Maeneo
Goba au Bunju

mwenye nacho anichek kwa;
mawasiliano: 0765 494 548

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
 
Kiwanja chenye hati kinahitajika ,ukubwa uwe square metre 1000 au zaidi.

Maeneo
Goba au Bunju

mwenye nacho anichek kwa;
mawasiliano: 0765 494 548

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
Kipo chalinze am serious kk
 
Kama bado unaiwitaji wakiwanja nina viwanja viwili, kimoja kipo kinyerezi kichangani ukubwa ni 70×33 ni tambalale kabisa. Kingine kipo bunju mkabala kabisa na kiwanja cha simba sc. Ukiwa kiwanjani hapo huna aja hata ya kusogea uwanjani ili uwatizame wachezaji, ni kuweka kiti chako nje tu na kupata burudan mubashara umakini muhimu mipira waga inafika adi kiwanjan. Ukubwa ni 20×30

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiko cha Bunju bei gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umetisha acpokucheck bac atakua hana ela tu.

smart Ki
 
Cha kinyerez Bei gan?
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…