Kiwanja cha Sq. mita 1200 Chanika Buyuni

mslopagaz

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
367
Reaction score
36
Kiwanja kimepimwa kina hatimiliki, kina nyumba imejengwa imeishia kwenye lenta (1master&2single,sitting room dinning, public toilet) kiwanja kipo mita 600 kutoka barabara ya lami na kipo kwenye mtaa.

Contact; 0656 698232
 
ukiweka picha itavutia zaidi na utakuwa unanadi kitaalam sana
 
Miguu 20 X 20 Chanika Mjini(Vodete)
Karibu na Barabara.
1.7Km toka Pale Chanika Stand
0.6km toka Barabara ya Lami.

Bei: 5.5M

Umeme Maji Papo hapo.

Pamejengeka Sana.

0715-240140
 
Vipimo kwa miguu, hivi SI UNIT yake ni value ipi!?
 
Kiwanja kimepmwa kina hatimilik,kina nyumba imejengwa imeishia kweny lenta(1master&2single,sitting room dinning, public toilet)kiwanja kipo mita 600 kutoka barabara ya lami na kipo kweny mtaa
Contact; 0656 698232
Umeshauza ndugu ..??
 
Uko juu sn kaka hari imekaba saivi si unajua..? unachkua nusu yake ..? nipm
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…