Wacha sarakasi. Sisi tumekuwa tukijilipia uchaguzi kutoka zamani. Nyie mumeingia middle income mwezi uliopita sasa mnataka kushindana na sisi? Heshimu Wakubwa wako wewe.
Wacha sarakasi. Sisi tumekuwa tukijilipia uchaguzi kutoka zamani. Nyie mumeingia middle income mwezi uliopita sasa mnataka kushindana na sisi? Heshimu Wakubwa wako wewe.
Kenya mna bajeti za ajabu duniani. Unalenga jutumia bilion 26, lakini uhalisia unatumia bilion 10, 16bil zinaliwa na majizi ya kenya wazee wa pen moja kununuliwa ksh 500