Kabati LA aluminum nauza

Wakuu nna kabati LA aluminum kwajili yakuwekea bidhaa Dukani, Kama duka la dawa AU LA vipodozi,, nauza efu themanini tu kwa aliyepo maeneo ya Tegeta au bunju,, au afrikana, ,

Nimebadili biashara so sina kazi nalo,, ni kubwa
Weka picha yake tulione basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu nna kabati LA aluminum kwajili yakuwekea bidhaa Dukani, Kama duka la dawa AU LA vipodozi,, nauza efu themanini tu kwa aliyepo maeneo ya Tegeta au bunju,, au afrikana, ,

Nimebadili biashara so sina kazi nalo,, ni kubwa
ungekuwa wewe ungetoa hiyo themanini kwa kikabati hiko?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…