Jinsi ya ku-connect more than one computer to internet wic a single internet moderm...

Aug 15, 2012
9
2
WAKUU!!!!!!!!:spy:
Kwanza Heshima mbele yenu.
Naomba msaada jinsi ya kuunganisha (ku-connect) kompyuta zaidi ya moja kwenye Mtandao wakati huo nina Internet Moderm (Airtel moderm) moja.

Msaaaaaada pleaaaaaaase kwa anayefahama.

Saruti nyingi sana WAKUUUUUUUUUUUUUUUUUUU!

***Good thingx always came later, we must be patient 2 dis***
 
hiyo ni kazi rahisi sana kijana, kama umeishafanya connection basi chomeka modem yako kweye server yako kisha share hiyo network utapata inertnet kiulaini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…