WAKUU!!!!!!!!:spy:
Kwanza Heshima mbele yenu. Naomba msaada jinsi ya kuunganisha (ku-connect) kompyuta zaidi ya moja kwenye Mtandao wakati huo nina Internet Moderm (Airtel moderm) moja.
Msaaaaaada pleaaaaaaase kwa anayefahama.
Saruti nyingi sana WAKUUUUUUUUUUUUUUUUUUU!
***Good thingx always came later, we must be patient 2 dis***
hiyo ni kazi rahisi sana kijana, kama umeishafanya connection basi chomeka modem yako kweye server yako kisha share hiyo network utapata inertnet kiulaini