Sumatra ilikuwa ni mamlaka ya kusimamia usafiri wa nchi kavu na majini. Mwaka 2018 ikagawanywa nchi kavu ikabaki Latra na majini ikawa Tasac.
Sumatra-Surface and Marine Transport Regulatory Authority ilipogawanywa tumepata Latra-Land Transport Authority hii majukumu yake kusimamia usafiri wa nchi kavu yaani barabara, reli na cable...