TheGodfather95 JF-Expert Member Joined Sep 27, 2014 Posts 1,764 Reaction score 1,836 Aug 14, 2017 #1 Nauza IPhone 6 gold version 16gb Good condition 750k
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,924 Reaction score 95,758 Aug 14, 2017 #2 Kuwa na mazoea ya kukata kucha mara kwa mara mkuu wangu![emoji53][emoji53][emoji53]
Nimkimbilie nani JF-Expert Member Joined Nov 23, 2016 Posts 6,237 Reaction score 6,610 Aug 14, 2017 #3 Behaviourist said: Kuwa na mazoea ya kukata kucha mkuu wangu![emoji53][emoji53][emoji53] Click to expand... Ohoooo
Behaviourist said: Kuwa na mazoea ya kukata kucha mkuu wangu![emoji53][emoji53][emoji53] Click to expand... Ohoooo
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,765 Reaction score 126,676 Aug 14, 2017 #4 Uza tu mkuu
TheGodfather95 JF-Expert Member Joined Sep 27, 2014 Posts 1,764 Reaction score 1,836 Aug 14, 2017 Thread starter #5 Behaviourist said: Kuwa na mazoea ya kukata kucha mara kwa mara mkuu wangu![emoji53][emoji53][emoji53] Click to expand... We unaogopa nini?? Nikikupiga dole huwezi umia...usiogope
Behaviourist said: Kuwa na mazoea ya kukata kucha mara kwa mara mkuu wangu![emoji53][emoji53][emoji53] Click to expand... We unaogopa nini?? Nikikupiga dole huwezi umia...usiogope
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,924 Reaction score 95,758 Aug 14, 2017 #6 jossiest said: We unaogopa nini?? Nikikupiga dole huwezi umia...usiogope Click to expand... Mkuu jifunze kupambana kwa hoja kwa sababu matusi yalitumika zaidi karne ya 7 na ya 8,matusi hayana nafasi karne ya 21!!
jossiest said: We unaogopa nini?? Nikikupiga dole huwezi umia...usiogope Click to expand... Mkuu jifunze kupambana kwa hoja kwa sababu matusi yalitumika zaidi karne ya 7 na ya 8,matusi hayana nafasi karne ya 21!!
TheGodfather95 JF-Expert Member Joined Sep 27, 2014 Posts 1,764 Reaction score 1,836 Aug 15, 2017 Thread starter #7 Behaviourist said: Mkuu jifunze kupambana kwa hoja kwa sababu matusi yalitumika zaidi karne ya 7 na ya 8,matusi hayana nafasi karne ya 21!! Click to expand... Hii ni biashara sio siasa jifunze kusoma mazingira. Lugha ambayo ningeisikia ni bargain language basi, sio vingine.
Behaviourist said: Mkuu jifunze kupambana kwa hoja kwa sababu matusi yalitumika zaidi karne ya 7 na ya 8,matusi hayana nafasi karne ya 21!! Click to expand... Hii ni biashara sio siasa jifunze kusoma mazingira. Lugha ambayo ningeisikia ni bargain language basi, sio vingine.