Achana nae huyo mpiga domo. Mkuu, kama ukiwa na mawazo tofauti kuhusu hitaji lako la simu ni PM. Maana kwa sasa mzigo wa iPhone 5s umekata, so kama utahitaji samsung, hTC na Sony tuwasiliane.
Achana nae huyo mpiga domo. Mkuu, kama ukiwa na mawazo tofauti kuhusu hitaji lako la simu ni PM. Maana kwa sasa mzigo wa iPhone 5s umekata, so kama utahitaji samsung, hTC na Sony tuwasiliane.
Laptops zipo, just nipe specifications zako ili niangalie kwenye stock yangu. Lakini pia nina specialists wangu ambao hutoa huduma ya kiushauri juu ya laptop bora za kununua na kuweka programs kwa zile ambazo ni mpya.
Laptops zipo, just nipe specifications zako ili niangalie kwenye stock yangu. Lakini pia nina specialists wangu ambao hutoa huduma ya kiushauri juu ya laptop bora za kununua na kuweka programs kwa zile ambazo ni mpya.