iPhone 3Gs inauzwa Tsh. 450,000/-

Mkubwa hiyo pesa hailipi?
 
Nauza iPhone 3G's iko kwenye hali nzuri nimeitumia miezi mitatu tu.

Anayetaka anipm tufanye biashara.
mkuu niko Interested kuinunua lakini nataka kujua kwanza kama Ipo unlocked na ni unlock gani maana hiyo Baseband ya simu 05.16.02 sio unlockable, au kama ni Factory Unlocked kama ulivyoulizwa hapo juu....

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…