Inakuwaje wapenzi wangu wote ni wa aina moja?

Ooooh!! lkn watu wa kaskazini sio wote wenye tabia hizo labda hao wanaokuwa wanatoka kwenye familia za aina unazosema.

i am from NorthenZone too.
 
Vp Kasie mie naweza kuwa kibenten chako..?! Maana nmefit kwenye kila kiriteria..! Kasoro mie mtu wa kusini..!
 
Hayatuhusu. This is private business. Absolutely Private.
 
i am from NorthenZone too.

Hahahhahahhaha na wewe umezaliwa wa kiume pekee? Yaani ndugu zako wengine ni wadada tuu?

Halafu unajua kuna taarifa ukisema utazifanyia kazi kisha unipe mrejesho naona kimyaa......
 
Hahahhahahhaha na wewe umezaliwa wa kiume pekee? Yaani ndugu zako wengine ni wadada tuu?

Halafu unajua kuna taarifa ukisema utazifanyia kazi kisha unipe mrejesho naona kimyaa......
No sisi tupo team ya makomando


anhaa yes yes nakumbukaa...sikupata muda wa kuongea nae ila nimepanga nikienda home lazima nilifanyie kazi alafu nitakupa feedback Kasie.
 
Bado hujanipa nafasi mimi, mimi ni wa kaskazini aliyeishi mjini.

Mahaba nayajua,kulea najua.

Unataka nini we Mnyamwezi?

Hahahahaaa Mangi nawaogopa nyie.... Kasie kesho zeeka ungekuja miaka 15 iliyopita....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…