Nimecheka kweli-usije ukakuta mko nyumba moja!-ahaaaaaaaaha.
Si ingekuwa bora mkafikia muafaka wa biz kwanza au la muhimu sasa ni kukutana wana Mbezi Beach?:tape:
Mie ninayo Hilux single cabin lakini lazima nijue gari litatumika
kwa shughuli gani na wapi ilinione kama shemeji yako atakubali
nipe taarifa kwenye PM