Galaxy Note 1 Mpya Inauzwa

Dean

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2013
Posts
636
Reaction score
245
Nauza simu tajwa hapo juu kwa anayehitaji anipm
 
Hebu weka picha,mbuzi kwenye gunia imepitwa na wakati!
 
Ni mpya ndio nimeletewa note 1 badala note 2 nataka nkabadilishe
 
yaani ukiweza kufuata taratibu jf ni bonge la soko ila ukianza habari za kuwa descriptive na tantalila nyingi utazinguliwa hadi basi.
Ni taratibu zipi basi? weka picha halisi ya bidhaa, specs ukiweka si mbaya itasaidia kuvuta watu, bei kuwa muwazi if possible state hata kwenye heading.
mie niliuza Sony Xperia Z withini hours kwa kufuata hizo procedure na uzi wangu hata haukuwa na chembe ya mzinguo.
Nb. huoni ushauri tu wa bure.
 

kweli ukiona mtu anasuasua kuweka details, basi hana uhakika na biashara yake....
 
kweli ukiona mtu anasuasua kuweka details, basi hana uhakika na biashara yake....[/QUOTE
Details gan unazohitaj wakat nshaandika aina ya simu?kwan umeshindwa kugoogle
 

Poa nmekuelewa,Nashukuru
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…