Pritty wa joseph
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,379
- 2,051
Iko wapi na carina aina gani T.I au
habar wana JF............Ipo sokoni 4.5 CARINA
4.5 ndiyo bei yake au...!? Fafanua vizuri wadau wakuelewe...
Tubadilishane na magunia 7 ya mpunga....mkuu....
Duh Bei ipo Down mno kama hiyo gari haina tatizo la Engine au haiana record ya kupata ajali kubwa... Inafaa kuwanunulia Ndugu ili wapunguze Mizinga ya hapa na pale.... Mkuu Preety hebu dokeza kidogo kuhusu ajali na engine ipoje am sure TI ni poa kwa watu wabana mafuta... Hebu nipe na Kilometa zake zishafika ngapi...!
4 kamili vp?
Aisee,Pritty mie nakuja chambe unipe number ya Dingi,nikiishanunua gari hapo hapo natoa posamkuu yani labda uje chemba nikupe namba za dingi maana sio yangu na sijui lolote kuhusu gar ........ajali ilipata mara moja iligongwa na kuchubuka bt ikanyooshwa
Aisee,Pritty mie nakuja chambe unipe number ya Dingi,nikiishanunua gari hapo hapo natoa posa