Fitness Trackers

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
31,311
Reaction score
89,471
Nauza health fitness tracker kwaajili ya afya, mazoezi na notifications. Kazi zake:

-Inapima mapigo ya Moyo.
-Inapima pressure ya damu.
-Inapima kiwango cha Oxygen katika damu.
-Inahesabu hatua ulizotembea.
-Inapima umbali uliotembea kwa siku.
-Inapima calories ulizoburn kwa siku.

Ukiunganisha na Bluetooth kwenye cm yako inaweza kufanya hivi:

-Inaonesha jina la mtu aliepiga.
-Inaonesha jina la mtumaji SMS.
-Unaweza kusoma SMS na notification yoyote ilioingia kwenye simu yako.
-Unasoma meseji kutoka WhatsApp Instagram Facebook Twitter WeChat etc.

Vilevile ina Saa, Alarm, Stopwatch na ni water proof IP67.

Unachaji kwa USB na zinakaa na chaji wiki na kuendelea.

Bei ni Tsh Elfu 30, 40, 50, 75 na Laki 1 tu.

Nipo Ubungo DSM simu namba: 0758-095 750

Kwa picha za smartwatch za aina mbalimbali na bei tofauti tofauti nicheki 0758-095-750
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…