Habari
Excavator yaani kikiko kinauzwa kipo mkoani Iringa. Bei Tsh 50M. Kipo ktk hali nzuri ni cha kijapani.
Kwa maelezo zaidi ya engine nk na attach card yake. Lakini ukitaka maelezo zaidi ya kiufundi wasiliana nami nikuunganishe na mmiliki. Mimi namfanyia tu udalali
Kuletwa Dar au mkoa wowote inawezekana. Ni mipango tu inapangwa
Nipigie 0758 308193. Kutokana na hizi mvua labda mtandao ukiwa down unaweza nitumia sma au watsap namba hiyo.
View attachment 1623447
View attachment 1623448
View attachment 1623449
View attachment 1623450
View attachment 1623452
View attachment 1623453