Zipo mkoani Tabora desktop computer 2 hdd 500GB ram 4GB I CORE 3, monitor nch 22 aina ya Dell used ya ulaya bado haijatumika kwa hapa bongo
Bei kwa zote ni Tsh .730,000/= ukitaka moja pia utapata
0620307124
Huko ni mbali na nilipo mkuu sitaki kuwa muongo ndio maana nimesema kwa walioko mkoa huo au jiarani na mkoa huo inakuwa rahisi kusafirisha au kama una rafiki mkoa huo unamtuma anakuja kuchukua then anakutumia