wote mhim,u, sema daktari kwa uchache wao na wengi kuwa more intellectual, na sifa ya kuuzika kila mahali, wakiamua kitu wanaweza, kwani wakitimuliwa, kesho utasikia yuko sehemu nyingine anapata zaidi ya huku alikofukuzwa. Walimu wengi hawauziki, akitimuliwa ualimu anaona ndo mwisho wa kila kitu. Hali hii imepelekea kuwa na mgogoro miongoni mwao, ambapo walimu wasiouzika huamua kurudi shuleni kuambulia hiyo 200,000/= kwa mwezi.