Chumba kinapangishwa Kipo ubungo gereji, kina choo ndani, tiles, jipsom na ni kikubwa. Maji na umeme vipo na kuna parking.. usalama wa kutosha (nyumba ina get na utulivu wa kutosha), kodi ni laki 1 kwa mwezi na inatakiwa kodi ya miezi 10 (maelewano yapo) kwa mawasiliano 0789206314