Chumba (self) kinapangishwa

aqeelah

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2014
Posts
360
Reaction score
240
Chumba kinapangishwa Kipo ubungo gereji, kina choo ndani, tiles, jipsom na ni kikubwa. Maji na umeme vipo na kuna parking.. usalama wa kutosha (nyumba ina get na utulivu wa kutosha), kodi ni laki 1 kwa mwezi na inatakiwa kodi ya miezi 10 (maelewano yapo) kwa mawasiliano 0789206314
 

''Chumba kimoja laki moja na inatakiwa kodi ya miezi 10''........Asante sana
 
Unaweza kuweka picha za hicho chumba?
 
vipi kuhusu jiko au ni chumba kama chumba tu..kwanini kodi ya miezi 10 na si mwaka mana tumezoea miezi 6 au mwaka kwanini miezi 10
 
vipi kuhusu jiko au ni chumba kama chumba tu..kwanini kodi ya miezi 10 na si mwaka mana tumezoea miezi 6 au mwaka kwanini miezi 10

Na wewe Unapenda Kuishi na Mavi ndani!
 
Mlipe na kodi mfano weww hiyo laki peleka tra 30 elf
 
Hicho mUDSM ndiyo kinamfaa. Ila usijekushangaa wanalala watu 6 humo 😎
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…