Mi naiuza laki saba ndg dukani 1.2 hyo kwa kua nimevurugwa na imekaa sana ndani ingawa haijatumika tufanye hvyo!
Nielekeze ndg mi mgeni hmu natamani kuweka mda wote nahangaika tu!
Imeshapata mteja??Mi naiuza laki saba ndg dukani 1.2 hyo kwa kua nimevurugwa na imekaa sana ndani ingawa haijatumika tufanye hvyo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama bado IPO nitumie picha whatsapp nioneHabari zenu waungwana km mjuavyo kimfaacho mtu chake nina cherehani ya kisasa(inatumia umeme pia) inashona tu haidarizi haijawahi kutumika ipo katika hali nzuri tu bei maelewano naamini hatuwezi shindwana namba yng 0715338079 napatikana dareslama mwenye uhitaji anicheki nimebanwa sana ndugu zangu nahangaika kuappload picha zinakuja tusameheane cna utaalam sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado unayo ?? Nitumie picha #0763391883Mi naiuza laki saba ndg dukani 1.2 hyo kwa kua nimevurugwa na imekaa sana ndani ingawa haijatumika tufanye hvyo!
Sent using Jamii Forums mobile app