Mkuu kama unaendesha gar...sehem ambayo unaweza safir kwa masaa 2 mpaka 5 unauwezo wakuona vyema sana sehem hiyo kama umesimama mahal pajuu..hivyo kama ni straight..tuseme umesimama kwenye ghorofa...na pengine unataka uwamulike trafik wa torch km 62 mbele basi you can see them...