jamani, kwenu nyie ambao mko bongo, tunaomba mtupatie maana ya huu msamiati "mbayuwayu", kwasababu kuna jamaa fulani humu aliiniita mi mbayuwayu nikadhani ananitukana. wengine hatujarudi huko bongo kwa miaka kadhaa sasa tunajiandaa kurudi kipindi hiki cha uchaguzi. explanation please!